Loading...

Je Unajua Faida za Mmea wa Aloe vera...Soma Hapa Kuzijua na Uanze Leo Kuutumia..

1. Huondoa uvimbe katika jicho
Weka kiasi kidogo cha majimaji ya mu-aloe vera freshi kisha kuamka asubuhi, acha kwa dakika kadhaa kisha jisafishe. Uvimbe lazima ukimbie. Pia unaweza kuloweka pamba katika majimaji ya mualoe vera na kisha jisafishe katika jicho lenye uvimbe.

2. Huzuia na kuondoa michirizi ya tumbo itokanayo na ujauzito
Anza kwa kupakaa majimaji ya mualoevera juu ya tumbo lako na ufanye kama masaji hivi taratibu juu ya tumbo mara 2 kwa siku katika kipindi chote cha ujauzito na baada ya kujifungua kwa miezi michache mpaka michirizi ipotee yote.

3. Hutibu bawasiri
Ile ile sifa moja iliyonayo ya kutibu uvimbe ambayo inaweza pia kutibu malengelenge na uvimbeuchungu kwenye mwako wa mwili, ndiyo hiyo hiyo pia husaidia kutibu au kupunguza maumivu ya bawasiri. Chana tawi la aloe vera freshi na upate jeli yake, kisha pakaa eneo linalosumbuliwa na bawasiri mara mbili mpaka tatu kwa siku kwa wiki kadhaa hasa kama bawasiri imejitokeza sehemu ya nje hadi hapo uvimbe huo utakapopotea.

4. Ni tiba kwa matatizo ya tumbo
Kama utainywa, hutibu vidonda vya tumbo na kiungulia, na kwa ujumla ni kuwa husafisha mfumo wote wa mmeng’enyo wa chakula. Chukua jeli ya aloe vera nusu kikombe (ml 125) changanya na maji ya kawaida nusu kikombe tena kupata ujazo wa  robo lita, changanya vizuri mchanganyiko huu na unywe kutwa mara 2 kwa siku 3 hadi wiki 1 kujitibu matatizo ya tumbo kama kuum, kuondoa sumu, kuunguruma, kuhara na hata kutibu malaria.

Madhara ambayo yameripotiwa kutokana na kunywa aloe vera ikiwa freshi ndani ya tumbo ni pamoja na kuharisha na matatizo kwenye figo.

5. Huziimarisha kucha dhaifu
Kwa taratibu pakaa majimaji ya aloe vera juu ya kucha zako sehemu zote juu na chini kila siku na uzitazame baada ya siku kadhaa uone zitakavyokuwa zimerudisha ule uzuri na ugumu wake wa mwanzo.

6. Huondoa Makeup
Kwa usalama kabisa huondoa makeup kwenye jicho na ni nzuri kwa ngozi laini inayozunguka jicho lako.

7. Husafisha ngozi na kuondoa alama zitokanazo na kuungua na jua
Chunusi, ukurutu na kuungua kwa ngozi kutokana na jua vyote hivi vinatibika kirahisi kwa kutumia aloe-vera. Pakaa mara 2 hadi 3 kwa siku katika ngozi mpaka uone umepona kabisa. Mu-aloe vera pia una sifa ya kupoza kama ilivyo menthol ambayo unaufanya Mu-aloe vera kuwa dawa ya asili nzuri zaidi katika kutibu alama zitokanazo na kuungua na jua.

8. Ni jeli ya asili ya kunyolea na baada ya kunyoa
Aloe Vera ni dawa ya asili katika kutibu michubuko asante kwa vimeng’enya vyake ambavyo huwa na kiasi kingi cha maji ambayo ni mhimu kuzuia kukauka kwa ngozi. Wakati unanyoa ndevu pakaa jeli ya aloe vera na hata baada ya kunyoa pakaa kama after shave jel kuzuia na kuponya michubuko itokanayo na kunyoa.

9. Huondoa makunyanzi na mikunjo ya ngozi
Ngozi hupenda sana Vitamini C na E ambazo zote zinapatikana katika aloe vera na kusaidia kuboresha unene wa ngozi na kuiacha katika hali ya umajimaji. Ikiwa utachanganya jeli ya aloe-vera na mafuta ya asili ya nazi utapata krimu nzuri ya kuongezea viinilishe, mafuta mhimu na unyevunyevu katika ngozi.

Jeli ya Aloe Vera hupenyeza katika ngozi kwa haraka mara nne zaidi ya maji ya kawaida na sifa yake ya kulainisha ngozi husaidia ngozi kubaki na unyevunyevu muda wote.

10. Hutibu homa na mafua
Jeli ya Aloe Vera huongeza kinga ya mwili. Mu-aloe-vera una viinilishe vingi sana mhimu kwa afya ya binadamu. Ina Vitamini A, B, C, na E. Mmea huu una orodha ndefu ya madini mhimu kwa mwili na vimeng’enya vingine mhimu.

11. Vitamini B12 kwa wale wasiotumia nyama (Vegans)
Matumizi makuu ya aloe vera kimatibabu ni kusaidia na kuboresha uundwaji wa bakteria wazuri. Kwa kuongezea aloe vera huwa na jumla ya madini ambayo bakteria huyahitaji katika kutengeneza Vitamini B12.

12. Huongeza nguvu mwilini
Matumizi mengine ya kitabibu ya mmea wa mu aloe vera au mshubiri kwa kiswahili chake hasa, ni kuongeza usawa wa nguvu mwilini. Hii ni kutokana na uwepo wa vitamin b 14 na viinilishe vingine ambavyo husaidia kubadili asilimia kubwa ya chakula katika tumbo lako na kuunda nguvu.

13. Huondoa mba kichwani
Changanya jeli ya asili ya aloe vera na shampoo yako, dakika chache kabla ya kwenda kulala pakaa vizuri mchanganyiko huo kwenye nywele zako na uache zikauke kidogo na usafishe nywele zako asubuhi.

14. Huondoa maumivu wakati wa hedhi
Changanya jeli ya Aloe vera na pilipili manga ya unga kidooogo, meza kijiko cha chakula kimoja mara tatu kwa siku kila siku hadi maumivu yatakapoacha.

15. Hulainisha nywele
Jeli ya Aloe vera ni nzuri katika kutibu tatizo la nywele kujisokota na ni mbadala mzuri kwa bidhaa nyingi za madukani zenye gharama kwa ajili ya nywele.

16. Ni dawa ya asili ya kusafishia mdomo
Changanya jeli ya aloe-vera ml 100, vijiko 3 vya chai vya baking soda, maji ml 100 na kijiko 1 kidogo cha juisi ya limao. Changanya vizuri vyote kwa pamoja na utumie kama dawa yako ya asili ya kusafishia mdomo.

17. Hutibu matatizo katika mmeng’enyo wa chakula
Juisi ya Aloe vera ni nzuri sana katika kurekebisha matatizo katika mmeng’enyo wa chakula, hurekebisha kuvurugika kwa tumbo na kiungulia. Itumie kama ilivyoelezewa kwenye kutibu matatizo ya tumbo hapo juu namba 4.

18. Hushusha lehemu (Cholesterol)
Tafiti zimeonyesha kuwa kunywa juisi ya aloe vera kwa kipindi kirefu kunaweza kushusha kiwango cha lehemu mwilini. Itumie kama ilivyoelezewa kwenye kutibu matatizo ya tumbo hapo juu namba 4.

19. Hutibu chunusi
Aloe Vera huondoa chunusi kwa kuziondoa seli zilizokufa katika ngozi na hivyo kuvifungua vishimo katika ngozi na kuondoa mafuta yaliyoganda katika hivyo vishimo. Pakaa jeli ya aloe vera moja kwa moja katika eneo lililoathirika na chunusi. Pia makovu yaliyoachwa kutokana na chunusi yanaweza kuondolewa kwa kupakaa jeli ya aloe vera pekee.

20. Hutibu ukurutu na upele
Ukurutu ambao ni matokeo ya juu ya tetekuwanga kwa kawaida hutokea kwa watu wazima wenye kinga ya mwili pungufu. Aloe Vera inaweza kutumika kutibu tetekuwanga zinazosababishwa na kirusi aina ya herpes virus. Kwa kupakaa jeli ya aloe vera moja kwa moja kwenye sehemu zilizowazi hutanua mishipa ya damu jambo linalosaidia kutibu vidonda.

21. Huzuia ngozi kuunguzwa na jua (Sunscreen)
Kupakaa jeli ya Aloe Vera katika mwili hulinda ngozi dhidi ya miale yote ya jua kutua moja kwa moja kwenye ngozi na hivyo kukufanya usizeeke mapema, pia ni dawa nzuri kwa ngozi inayofubaa.

22. Hulainisha sehemu kavu za siri
Aloe Vera hufanya kazi kama kilainishi bora kabisa cha asili katika maeneo ya siri kwa jinsia zote mbili na kutoa unyevunyevu wa asili.

23. Hutibu vidonda katika mdomo
Mu Aloe vera unazo vitamini na asidi amino ambazo husaidia kuzitengeneza upya tishu zilizoharibika. Tafiti zimeonyesha kuwa watu wanaosumbuliwa na vidonda mdomoni waliotumia jeli ya aloe vera walifanikiwa kutibu karibu asilimia 50 haraka zaidi kuliko wale ambao hawakutumia jeli ya aloe vera.

24. Hutibu maambukizi katika uke
Unaweza kutibu maambukizi katika uke kwa kupakaa jeli ya aloe vera kwa nje na kwa kuinywa jeli kupata faida yake ya kutibu fangasi. Mililita 120 mpaka 200 za jeli ya aloe vera kila siku zinaweza kusaidia kutibu maambukizi na fangasi katika mwili na ikiwa utaendelea kuinywa kwa muda mrefu kunaweza kuzuia maambukizi zaidi kutokujirudia baadaye.

25. Husaidia wawindaji
Wawindaji wa wanyama katika barani Afrika mara kwa mara hupakaa jeli ya aloe vera katika miili ili kupunguza kutokwa jasho na kuondoa harufu yao ya asili katika mwili isisikike na wanyama.

26. Suluhisho kwa watafuna kucha
Burashi kucha za mtoto anayependa kutafuna kucha na jeli ya aloe vera, ile radha ya uchungu katika aloe vera kutamfanya aache kuzitafuna kucha zake.

27. Hutumika katika kupunguza uzito
Watafiti wameweza kugundua kuwa kunywa juisi ya aloe vera husaidia kupunguza sukari kwenye damu jambo mhimu kwa wale wenye kisukari cha aina ya pili. Wanasayansi wanaamini kuwa kuweka kiwango cha sukari chini hupunguza uzito.

28. Hutibu upungufu wa damu (Anemia)
Kunywa jeli ya aloe vera kunasaidia uzalishaji zaidi wa seli nyekundu za damu katika mwili wako na hivyo kutibu tatizo la kupungua kwa damu.

29. Huondoa maumivu ya mishipa
Kutokana na sifa yake ya kutibu uvimbe, unaweza kutibu uvimbechungu (inflammation) katika maungio yanayopelekea maumivu katika mishipa kwa kupakaa jeli ya aloe vera katika eneo unalosikia maumivu.

30. Hutibu maumivu katika sikio
Matone kadhaa ya aloe vera yakinyunyizwa sikioni yanaweza kuleta nafuu kubwa kama unapatwa na maumivu katika masikio. Hii ni nzuri pia kwa masikio yanayotoa usaha na maumivu mengine katika masikio.

Discover the best of London’s Green Parks

Kew Gardens, LondonThere are few places better to be than London on a beautiful sunny day and we’ve asked Jose Pauco, Head Concierge at The Milestone Hotel, to share his recommendations of the best parks you can visit in London.
Holland Park, Kensington
One of the smallest parks in the City and not as well known as the others, formerly the grounds for Cope Castle, a Jacobean mansion deeply hidden in the woodlands. It was built by Sir Walter Cope, the former Chancellor of the Exchequer under King James I. It later was renamed Holland House by the Earl of Holland’s wife Lady Rich. Presently Holland House serves as a seasonal Opera venue where one can see classic Operas such as Madama Butterfly and Pagliacci.
The Park mainly comprises of large areas of woodlands to explore, which almost gives you the feeling you have left the City. There is an Ecology centre where one can learn about the species that live there, its environment and biodiversity. The main attraction is the elegant and tranquil Kyoto Gardens, built in 1991 to celebrate the Japanese festival in 1992. Holland Park is one of the most romantic parks in London.
Chelsea Physic Garden, Chelsea
Founded in 1673 by the Worshipful Society of Apothecaries of London to train young apprentices in identifying plants, the Chelsea Physic Garden is London’s oldest botanic garden. Visiting this special garden you will find around 5000 different plants, some rare and endangered species and some with proven medical use.
One of the popular features is the pond rock garden built from old building stones from the Tower of London and Icelandic lava.
A secret garden in the heart of London not to be missed!
Kensington Gardens, Kensington
Formerly private hunting grounds for King Henry VIII, it was not until the reign of King William III and his wife where the gardens began to take shape. He commissioned Sir Christopher Wren to build Kensington Palace, while Queen Mary II favoured garden development projects building flower beds and box hedges.
One of the prominent features is the Italian Gardens a spectacular ornamental water garden mainly carved in Carrara marble.
J.M Barrie a frequent visitor of the park drew his inspiration here to create the book Peter Pan. There is a statue of Peter Pan in the park in commemoration.
A special park with a Royal connection.
Kew Gardens, Kew
Perhaps the most well known garden in London, there are a number of plants to visit, green houses and landscapes to explore and wildlife to see.
One of the best features to see in the gardens is the Chinese pagoda, the waterlily house and the Japanese garden built in 1910 for the Japanese-British Exhibition.
There is always an excuse to come visit the Royal Botanic gardens in every season to see the vibrant colours.
Wisley Gardens, Surrey
Founded in 1878 by George Fergusson Wilson he began a project called ‘Oakwood experimental garden’ where he attempted to grow plants that struggled to grow in these climates. In 1902, after his death Sir Thomas Hanbury acquired the site and gifted it to The Royal Horticultural Society.
Today one can visit the informal gardens, glasshouses that stimulate tropical climates, fruit and vegetable gardens and the Battleston Hill. A must for one with green fingers!
By Jose Pauco, Head Concierge at The Milestone Hotel

Top 10 Mountains and Volcanoes in Tanzania

  

Mount Kilimanjaro
Rising over 5km from the surrounding plains to a peak of 5892m, Kilimanjaro, a national park, and a World Heritage Site since 1989, is Africa’s highest mountain. Kilimanjaro is located north of Tanzania near the town of Moshi and is a protected area, carefully regulated for climbers to enjoy without leaving a trace of their presence.
The mountain’s ecosystems are as strikingly beautiful as they are varied and diverse. On the lowland slopes, much of the mountain is farmland, with coffee, banana, cassava, and maize crops grown for subsistence and cash sale. A few larger coffee farms still exist on the lower slopes, but much of the area outside the national park has been subdivided into small plots. Once inside the park, thick lowland forest covers the lower altitudes and breaks into alpine meadows once the air begins to thin. Near the peak, the landscape is barren with rocks and ice the predominant features above a breathtaking African view.                     

Mount Meru
Some visitors to Tanzania treat Mount Meru as an acclimatization trip before attempting Mount Kilimanjaro. A visit to this spectacular mountain, located within Arusha National Park, is an unforgettable experience.
Its lower slopes are covered in dense highland forest, where colobus monkeys play and buffalo graze concealed beneath the thick foliage. The mountains vegetation is similar to Kilimanjaro’s though the high altitude glaciers and ice fields are absent. The extinct volcano’s extensive base gives way to a perfectly formed crater, and another internal crater whose walls are sharp, sheer cliffs. The Momela Lakes and Ngurdoto Crater are visible from Meru’s slopes.
Crater Highlands
Rising up from the floors of the Rift Valley, the Crater Highlands form a lush chain of mountains and volcanoes that includes the Ngorongoro Conservation Area.
Hiking safaris take visitors from Ngorongoro Crater to the foot of Ol Donyo Lengai and offer visitors a chance to see some of the most spectacular and stunning scenery in Tanzania. Exploring this little-visited wilderness is the hiking adventure of a lifetime, an exciting if hair-raising prospect.
Mahale Mountains
On the borders of Lake Tanganyika lies Mahale Mountains National Park, dominated by the Mahale Mountain chain and one of Tanzania's most impressive chimpanzee populations. The park is located on a jutting peninsula of Lake Tanganyika, offering stunning views of the mountains just being the sandy beaches of the country's most beautiful lake.
The Mahale Mountains are a photographer's dream, with six prominent peaks forming the skyline. The largest at 8,069 feet is Nkungwe.
Udzungwa Mountains
Located west of Dar es Salaam are the Udzungwa Mountains, an immaculate forest-cloaked wilderness whose 1900 square kilometers are among the most biodiverse on earth. Vervet monkeys play high in the forest canopy, and small forest antelope can be viewed at the right time of day. Botanical diversity is exceptional, and the park is host to a large number of endangered bird species.
Views from the peaks of the mountains, towards the Selous Game Reserve and the distant Indian Ocean coast, are incredible and well worth the effort.  The Udzungwa Mountains offer visitors the opportunity to view several species of primates and endangered birds in a beautiful African rain forest. Five distinct trails cover the forests and mountain peaks within the park, and offer varying levels of difficulty for everyone from novices to experienced trekkers
Monduli Mountains
North of Meserani lie the Monduli Mountains, which acts as a condenser for rainfall providing year-round water and pasture. Only a few hours’ drive from Arusha, the Monduli Mountains make a lovely day trip or can be part of a longer hiking itinerary.
Masaai pastoralists herd their cattle along the slopes and cultural tourism programmes give visitors the opportunity to learn about traditional medicines and local Maasai culture. The Maasai village of Emairete occupies a crater that was once considered sacred.
Mount Hanang
Remotely located on somewhat bumpy tracks 200 km south-west of Arusha is Tanzania’s fourth-highest mountain, Mt. Hanang. This almost perfect volcanic cone and extinct volcanic crater makes for a stunning feature above the otherwise undulating plains.
A two- day climb takes trekkers through numerous tribal areas, including the land of the semi-nomadic Barabaig, recognizable by their goatskin garments.
Ol Donyo Lengai
Rising up at the south end of Lake Natron and the bush land of Kenya to the north, is East Africa’s only active volcano, Ol Donyo Lengai, whose Maasai name means ‘The Mountain of God’. The volcano erupts sporadically, sending small streams of grey lava down the crater rim and spitting hot ash high into the air.
The climb, undertaken overnight so hikers can experience sunrise over the Rift Valley escarpment, is highly challenging.
Usambara Mountains
Southwest of the Pare Mountain, and also belonging to the Eastern Arc chain are the craggy and mist-shrouded Usambaras. Their western and eastern ranges are divided by a 4 km wide valley of small villages and farms, and hiking trails cover the foothills and larger peaks.
Day walks and overnight treks take visitors through some of the most concentrated areas of biodiversity in Africa. Bird watching is especially rewarding, and the views from the mountaintops stretch over the Masaai Steppe and, on a clear day, as far as the Indian Ocean.
Newer Posts
© Copyright World of Business | Designed By DAESA
Back To Top